

Tarehe 14-17 Machi 2012 tuliendesha semina ya pili ya muziki, sifa na kuabudu, katika kanda ya kusini ya Tanzania ambapo kuna madayosisi 6. Semina ilifanyika Songea, dayosisi ya Ruvuma na wajumbe karibu na 40 walishiriki. Semina hii ililenga watungaji wa nyimbo na viongozi wa kwaya za vijana za kanisa, kuwasiaidia kuboresha ujuzi wao katika muziki na pia kuwasaidia kukua kiroho na kuelewa zaidi kuhusu umuhimu wa muziki na kwaya kanisani, na jinsi ya kutumia vipaji vyao kumwabudu Mungu katika Roho na kweli.
The seminar was a huge success and a great blessing to all who attended. We are now preparing for a 1 month music school which will take place in Dodoma in August 2012 and well as a further 2 seminars in the remaining 2 zones of Tanzania. The pictures show some of the participants of the seminar and teacher Musa Njagamba, a musician and evangelist from Singida. We were also joined by evangelist Canon David Haj who taught and ministered at the seminar.
Semina hiyo ilikuwa na mafanikio makubwa sana na wajumbe wote walibarikiwa sana. Sasa tunaandaa shule ya muziki ya mwezi mzima itakayofanyika Dodoma mwezi wa 8, 2012, pamoja na semina 2 katika kanda 2 za Tanzania zilizobaki. Picha hizi zinaonyesha wajumbe wengine pamoja na mwalimu wao, Musa Njagamba ambaye ni mwanamuziki na mwinjilisti kutoka Singida. Pia Mwinjilisti Canon David Haj alikuwepo kufundisha na kuhudumu katika semina.

On the 27th March 2012 we held elections for a new TAYO committee which will lead the organisation for the next 3 years. We are very pleased that a dedicated committee of 8 youth leaders from different dioceses across Tanzania have been elected, led by chairman Mr. Johnson Mgimba of the diocese of Ruaha. We ask for your prayers for them as they begin their work and we pray that the work of TAYO will be strengthened and blessed. We also thank the retiring comittee who have led TAYO for the last 4 years.



The new committee together with members of the retiring committee and ACT youth officers
In front: TAYO Chairman, Johnson Mgimba; Rt. Rev Bill Atwood, Most Rev Dr. Valentino Mokiwa, Archbishop; Rev Canon Dr. Dickson Chilongani, General Secretary
No comments:
Post a Comment